Burudani

Sipendi Shetta aniite Mama Qayllah, nataka aniite ‘Baby’ – Mke wa Shetta

Mke wa msanii wa muziki Shetta, ‘Mama Qayllah’ amefunguka kwa kudai kwamba hapendi kuitwa ‘Mama Qayllah’ na mume wake huyo.

Mrembo huyo ambaye haonekani kwenye matukio mengi ya starehe, amedai anapenda mume wake amuite Baby na sio jina lingine.

“Kusema kweli kitu ambacho sipendi kutoka kwa mume wangu ni kuitwa ‘Mama Qayllah’, mimi nataka aniite Baby,” Mama Qayllah alikiambia kipindi cha Leo Tena Cha Clouds TV.

Wawili hao wameweza kukaa kwenye maisha ya ndoa kwa miaka 7.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents