Burudani

Siri yafichuka mpenzi wa msanii Whozu ambaye ni Tunda kwenda kwa msanii wa Nigeria – Video

Siri yafichuka mpenzi wa msanii Whozu ambaye ni Tunda kwenda kwa msanii wa Nigeria - Video

Msanii wa muziki kutoka marekani mwenye asili na mzaliwa wa #Nigeria @otike hivi karibuni alikuwepo Tanzania kwa muda mchache na baadae kurudi zake #Marekani , uwepo wake Tanzania ulikuwa na mambo mengi kidogo ambayo alikuwa akihisishwa nayo kama kutoka kimapenzi na mpenzi wa Msanii kutoka #Tanzania @whozu_ kwa mwanadada @cappuccino_tunda .

Picha na video zikawa zinasambaa zikionesha wapo pamoja sehemu tofauti tofauti Hasa Hasa za starehe,comments zikawa ni nyingi sana kwa @cappuccino_tunda @whozu_ na @otike mwenyewe na sintofahamu nyingi kujua nikweli #Whozu kanyang’anywa tonge mdomoni ama ni kipi kina endelea!
Lakini kwa sasa tayari imeshakuwa wazi ni kitu gani kilikuwa kinaendelea baina ya #Otike na #Tunda ambacho ni video mpya iitwayo #DearPrincess ambayo #Tunda katumika kama #VideoVixen na sio kama watu wengi walivyodhania!

 

By Ally Juma.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents