Michezo

Soudy Brown wa Team Kiba atoa tuhuma nzito kwa Haji Manara wa Team Samatta (Video)

Joto la mechi ya hisani kati Team Kiba na Team Samatta limeanza kupamba moto baada ya Haji Manara wa Team Samatta pamoja na Soudy Brown wa Team Kiba kutambiana mbele ya waandishi wa habari yakiwa ni maandali ya mechi hiyo itakayocheza mapema mwezi ujao.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents