Habari
Spika Ndugai achaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Maspika jumuiya ya Madola barani Afrika
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Maspika na viongozi wa Bunge katika nchi za Jumuiya ya Madola barani Afrika.
Soma taarifa kamili:
Na Emmy Mwaipopo