Habari
Spika Ndugai amuonya vikali CAG, ‘Hatumtaki akiendelea tutamuita tena, ajiongeze kujiuzulu’ (+video)
Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai ameonyesha wazi kukerwa kwa namna ambavyo Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali Profesa Musa Assad ambavyo hakujutia kauli yake inayodaiwa kuwa ya dharau dhidi ya Bunge la Tanzania.