Habari

Spika Ndugai amuonya vikali CAG, ‘Hatumtaki akiendelea tutamuita tena, ajiongeze kujiuzulu’ (+video)

Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai ameonyesha wazi kukerwa kwa namna ambavyo Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali Profesa Musa Assad ambavyo hakujutia kauli yake inayodaiwa kuwa ya dharau dhidi ya Bunge la Tanzania.


Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents