Habari
Spika Ndugai awaomba Watanzania kumuombea Mhe. Lissu
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amewaomba wabunge wote na Watanzania kumuombea Mbunge wa Singida Masharariki, Mh. Tundu Lissu aliyejeruhiwa Septemba 7 na watu wasiojulikana katika eneo la ‘area D’ mjini Dodoma.
Soma taarifa kamili: