Michezo

SportPesa yakabidhi Uwanja wa Taifa kwa Waziri Mwakyembe (Video+Picha)

Kampuni ya kubashiri matokeo ya SportPesa hii leo imekabidhi Uwanja wa Taifa kwa Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe baada ya kuufanyia ukarabati.

Akizungumza na waandishi wa Habari Mkurugenzi wa kampuni hiyo, Abbas Tarimba amesema historia ya ukarabati ya Uwanja huo imeanza mwezi Juni mwaka huu wakati wa kujiandaa na ujio mkubwa wa klabu ya Everton.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents