Burudani
Staa wa Nigeria Omawumi adata na vituko vya Shilole, amtaja Diamond na Vanessa (Video)
Msanii wa muziki kutoka nchini Nigeria, Omawumi amefunguka kwa kudai kwamba anamkubali sana muigizaji na muimbaji wa Bong Fleva, Shilole.
Msanii wa muziki kutoka nchini Nigeria, Omawumi amefunguka kwa kudai kwamba anamkubali sana muigizaji na muimbaji wa Bong Fleva, Shilole.