Burudani
Steve Nyerere afunguka baada ya kutoswa kwenye kamati ya mazishi ya Mzee Majuto ‘hawajanivunja moyo’ (+video)
Muigizaji Steve Nyerere ambaye amezoeleka kuwa mbele kwenye matukio makubwa ya misiba ya watu maarufu, hatimaye amefunguka baada ya jana kutotajwa kwenye kamati ya mazishi ya Mzee Majuto.
Steve Nyerere amesema kuwa licha ya kutokupangwa kwenye kamati hiyo lakini hajafa moyo na kwa sasa anawaomba wasanii wote waungane ili kuweza kuuziba salama mwili wa King Majuto.
Unatatizo ww
Ndio kaa pembeni na uache KIHEREHERE!
Mnafiki sana huyu
Kwani lazima uwepo? Una kashfa za kula rambirambi bado unakomaa kila msiba huwe kimbelembele
Umemuona amekasirika mla rambi rambi huyoooo!!!
Hahaha moyo Wa upigaji rambirambi?,senge kwelii