Burudani
Steve Nyerere amemtenganisha Kanumba na Ray, naomba roho mtakatifu akamshukie – Mama Kanumba (+video)
Mama mzazi wa aliyekuwa Muigizaji wa filamu maarufu zaidi Tanzania, Steven Kanumba amesema kuwa anashangaa mno muigizaji, Steve Nyerere anaanzisha bifu na yeye licha ya kuamua kumsamehe na kumuombea kwa Mungu.