Burudani
Steve Nyerere atoa salamu za rambirambi ajali ya MV Nyerere (Audio)
Msanii wa filamu na Mwenyekiti wa Uzalendo Kwanza, Steve Nyerere ametoa salamu za rambirambi kwa watanzania pamoja na wanafamilia waliokubwa na msiba nzito baada kivuko cha Mv Nyerere kuzama na kusababisha kufariki kwa watu 224, Wanawake 126 watoto 27.