Burudani
Steve Nyerere awambia wasanii “nikicheza beki 5 hakuna msanii atakufa njaa” (Video)
Msanii wa filamu, Steve Nyerere Jumatatu hii alifanya kikao na wasanii ambao walitembelea mradi wa reli ya kisasa na kuzungumza nao mambo mbalimbali pamoja na mipango yake ya kuhakikisha wasanii wapiga pesa kutokana na majina yao.