Bongo Movie
Stive Nyerere kuanza filamu ya Respect Nyerere Butiama
Mtaalamu wa kuiga sauti ya Viongozi mbalimbali nchini, Stive Nyerere hivi karibuni amefungua kampuni yake mpya ya Nyerere The Power, kwa lengo la kufanya filamu za kisiasa na kiuchumi zaidi. Mwigizaji huyo ambaye kwa sasa anatamba na filamu ya Mr Presedent, ambayo inazungumzia maisha ya raisi wa jamuhuri wa Tanzania Dr Jakaya Mrisho Kikwete.