Habari
Sugu ameshinda ubunge wa Mbeya!!
Tumepata habari kwamba Joseph Mbilinyi aka Sugu ndiye mbunge wa Mbeya Mjini kwa kupitia chama cha CHADEMA.
Hongera mkuu, tunakutakia kila la kheri katika ujenzi wa Taifa letu.
Tumepata habari kwamba Joseph Mbilinyi aka Sugu ndiye mbunge wa Mbeya Mjini kwa kupitia chama cha CHADEMA.
Hongera mkuu, tunakutakia kila la kheri katika ujenzi wa Taifa letu.