Habari
Sumaye atema cheche kuhusu mashamba yake (+Video)
Waziri Mkuu Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Tatu, Frederick Sumaye amesema kunyang’anywa mashamba yake si sababu ya yeye kurudi CCM.
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam, Sumaye amesema kuwa migogoro yake na serikali ilianza tangu yeye alipotoka Chama cha Mapinduzi CCM.
Video:
Na Emmy Mwaipopo & Yasin Ngi’tu