Taarifa kuhusiana na lead singer/vocalist wa kundi la Shosteez
Kundi la Shosteez linaloundwa na wasichana watatu, Menynah Atick, Salma Mahin na Nuru Yogo limehusishwa kwenye cover la jarida jipya la Mzuka. Katika cover story ya Shosteez muimbaji mkuu wa kundi hilo ameandikwa kuwa ni Salma badala ya Menynah Atick. Tunapenda kufanya marekebisho kupitia post hii kuwa lead singer/vocalist (muimbaji mkuu) wa kundi la Shosteez ni Menynah Atick.
Jipatie sasa nakala ya jarida la Mzuka. Wasiliana na namba 0716265838 kwa taarifa zaidi.