Habari

Tabora: Kijana ahukumiwa miaka 30, jela kwa kosa la kumbaka dada yake

Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Tabora imemuhukumu kifungo cha miaka 30 jela kijana mmoja, Kadushi Edward mkazi wa Kijiji cha Katindi, wilayani Uyui baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka dada yake mwenye umri wa miaka 16.

https://www.instagram.com/p/B215Vzmg-rA/

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents