Burudani
Tamasha la Fiesta 2019 laacha historia Dodoma (Picha)
Tamasha kubwa la muziki nchini Tanzania, Tigo Fiesta liliendelea kutimua vumbi ndani ya jiji la Dodoma na viunga vyake na kuacha historia ya aina yake kutokana na shows za nguvu ambazo zilitolewa na wasanii ambao walipata fursa ya kuonyesha mautundu yao.
Mwanadada Marianne Mdee ‘Mimi Mars’ akifanya vitu vyake kwenye tamasha la Tigo Fiesta 2019 Saizi Yako, lililofanyika juzi Uwanja wa Jamhuru mjini Dodoma |
Msanii wa Bongofleva Abdul Chande ‘Dogo Janja’ akifanya vitu vyake kwenye tamasha la Tigo Fiesta 2019 Saizi Yako lililofanyika juzi Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma. |