Burudani
Tamasha la Jackson Forever lafika matamu
Tamasha liliandaliwa na Familia ya Michael Jackson la Michael Jackson Forever kwa lengo likiwa ni kumuenzi mkali huyo wa Pop Duniani, limewatia tumaini waandaaji kwa kuuza mauzo mafupi tiketi 40,0000 katika uwanja wa Millenium Stadium Concert katika jiji la Cardiff.
Chris Hunt ambaye ndiye kiongozi wa Organizers Global Events Live wanaosimamia tamasha hilo amesema tiketi elfu 40, zimeshauzwa, ambazo kwa sasa bado mauzo ya tiketi 10,000 ilikukamilisha kiwango cha mahitaji wa kiwanja hicho kinachoingiza watu 50,000.