Habari
Tamasha la Nyama Choma kufanyika leo (Kijitonyama Postal Ground DSM)
Tamasha la nguvu la kila mwaka la Nyama Choma linafanyika leo (March 2) kwenye viwanja vya Posta Kijitonyama jijini Dar es Salaam. Maelezo zaidi yapo kwenye poster. Usikose.