Tamasha la Shaggy Ngome Kongwe
Mwanamuziki wa kimataifa Shaggy, alifanya bonge la tamasha katika ukumbi wa Ngome Kongwe. Mwanamuziki huyo ambaye aliamsha nyoyo za hisia watu kutokana na burudani kali iliyotoka kwenye vibao vyake vikari vilivyowahi kufanya vizuri, na hivi vya sasa ambavyo vinafanya vizuri katika chati ya muziki.
Shaggy akiwa jukwaani na waimbaji wake,
Kundi la wasanii toka nyumba ya Vipaji Tanzania, THT wakicheza ngoma za asili,
Wasanii toka Nyumba ya Vipaji Tanzania ‘THT’,
Sultan Kingi, akiimba kabla ya Shaggy,
Msenegal naye alitoa buludani yake kwa kutumia vyombo vya asili vya Kisenegal,
Shaggy akiendelea kutoa burudani kwa mashabiki wake,
Wanamuziki wa Zanzibar na wao walikuwa pamoja kwaajili ya kuhakisha hawafanyi vibaya mbele ya Shaggy,
Mc Has T na Marlen akieleza mpango mzima wa burudani inavyokwenda.
Mashabiki wakichukua picha za Shaggy