Bendi saba za taarabu zilikutana katika ukumbi wa New Msasani, kwaajili ya kutoa burudani kwa mashabiki, pia kuchangia fedha kwa ajili ya Uzazi salama yaani kuzuia vifo vya watoto wa wazazi.
Wasanii mbalimbali walikuwepo, na bendi ambazo zilikuwepo hapo za taarabu ni Coast Modern, East Afrika Modern, Kings Modern, Dar Modern na Super Shine Modern.
Mwimbaji wa Coast Modern Taarab Maua Tego, akiimba wimbo wa Gubu la Mawifi
Mwimbaji wa East Afrika taarab Mwanaidi Shabani akiimba wimbo wa Umbea umekujaje
Fundi mitambo nao walikuwa kazini