Habari
Tanesco warekebisha nguzo iliyodondoka
Juzi mvua iliponyesha nguzo ya umeme iliyopo Mabibo Makutano, iliweza kuangauka na chini kulikuwa namaji yanapita pia na wakazi wengi wa maeneo hayo walikuwa wakiyatumia masaa yote hata kama walikuwa kwenye hatari sababu umeme ulikuwa bado upo.
Lakini wakazi wa eneo hilo wanashukuru kwa sasa kwani baada ya masaa matatu tangu tuweke tangazo la kuomba msaada wa kuweka vizuri nguzo hiyo, basi ilikuja ikawekwa vizuri.