Habari

TANESCO yawatahadharisha wanaoomba ajira

Shirika la Umeme Tanzania(TANESCO), limetoa tahadhari juu ya matapeli waajira ambao wamekuwa wakiwatapeli watu kuwa watawapa ajira kwa kuwalipa viwango mbalimbali za fedha kulingana na walizoomba Tanesco.

Soma taarifa kamili:

Na Emmy Mwaipopo

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents