Habari
TANESCO yawatahadharisha wanaoomba ajira
Shirika la Umeme Tanzania(TANESCO), limetoa tahadhari juu ya matapeli waajira ambao wamekuwa wakiwatapeli watu kuwa watawapa ajira kwa kuwalipa viwango mbalimbali za fedha kulingana na walizoomba Tanesco.
Soma taarifa kamili:
Na Emmy Mwaipopo