Michezo

Tanzania yapanda viwango vya FIFA wakati Uganda haikamatiki Afrika Mashariki, Ubelgiji yaongoza

Tanzania imefanikiwa kupanda kwenye viwango vya soka duniani kwa mujibu wa Shirikisho la Mpira wa miguu duniani (FIFA)  kutoka nafasi ya 140 mpaka 136.

Katika viwango hivyo vilivyotolewa hii leo siku ya Akhamisi ya Oktoba 25, 2018 Tanzania imepanda kwa nafasi nne kutoka hiyo ya 140 mpaka 136.

Kutazama viwango vyote vya FIFA  A-Z bofya hapa

Kwenye viwango hivyo Uganda wameendelea kuongoza ukanda huu wa Afrika Mashariki kwa kushika nafasi 79 wakipanda nafasi nne wakati Kenya ikishika nafasi ya 105 nao wakipanda kwa nafasi mbili.

Nchi zinazoongoza kwenye viwango hivyo
1. Belgium
2. France
3. Brazil
4. Croatia
5. England
6. Uruguay
7. Portugal
8. Switzerland
9. Spain
10. Denmark
18. Wales
33. Republic of Ireland
34. Northern Ireland
40. Scotland

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents