Kuna tetesi mitaani kwamba msanii Tanzanite amefikishwa kizimbani kwa tuhuma za ubakaji. Msanii huyo alifanya vizuri na ngoma yake ya ‘Kafara’ ambayo ilimletea matatizo na msanii mwenzake Diamond baada ya kudaiwa kutumia moja ya beats zake pasipo na ruksa.
Tanzanite alikuwa anakaribia kutoa single yake mpya ya ‘Sababu I love you’ hivi karibuni, lakini I guess mambo yote yatategemea matokeo ya hiyo kesi…kama ni kweli.
[youtube]http://www.youtube.com/watch?v=s0R4NvqUBhI[/youtube]