Habari

Tanzia: Mbunge Dkt Elly Macha afariki dunia

Spika wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai ametangaza kifo cha mbunge wa viti Maalum, Dkt Elly Marko Macha (Chadema) kilichotokea katika hospitali ya New Cross nchini Uingereza alipokuwa akipatiwa matibabu

Hii taarifa ya Tanzia hiyo:

Na Emmy Mwaipopo

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents