Habari
TANZIA: Rais Magufuli apatwa na msiba mzito
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli asubuhi ya Leo Agosti 19, 2018 familia yake imepatwa na msiba mzito.
Msiba huo ni wa dada yake, aitwaye Bi. Monica Joseph Magufuli ambaye alikuwa amelazwa katika hospitali ya Bugando Jijini Mwanza kwa muda mrefu akipatiwa matibabu.
R.I.P
Nani huyu
Rip Dada Konica
Rest in eternal peace
RIP dada, na pole sana mkuu, hii miili yetu ni mbolea tu hapa duniani, Mungu awajalie moyo wa uvumilivu ktk kipindi hiki kigumu!!
pole sana rais wetu kwa kufiwa na dada yako nakuombeya allah akupe moyo wa subira ktk wakat uhu mgumu sana kwako.
Kule kwenye JamiiForums mtu akitaka kufahamu jinsi watu walivyogawanyika kihisia ukitafakari kwa kina utajua ni kwa jinsi gani WaTz ‘walivyovurugwa’ aisee. Na hapa ni lazima mhusika ayapime yale mawazo ya wengi kupitia ‘comments’ zao na ajitafakari kwa kina kama anavyofanya anakosea au la!
RIP
RIP, pole Sana raisi wa nchi jirani, Mungu akujaze ujasiri
You are very foolish and dead idiot. Yaan swala la kufiwa unawazia politics tu,embu kuwa na akili kwenye mambo ya msingi
Deusdedity Msabila you are ‘an evil spirit’ for sure!!!
Pole sana muheshimiwa
Ooh! Nashukuru kwa taarifa …
Pole baba yetu mungu akupe moyo wauvumilivu
Rip
Kila nafsi itaonja umauti
RIP Dada yetu