Burudani
Tazama Diamond na Wizkid walivyoshambulia jukwaa la Wasafi Festival Dar (+Video)
Tazama jinsi Wizkid alivyopanda jukwaani na Diamond Platnumz na kisha kushambulia jukwaa la Wasafi Festival Jijini Dar Es Salaam usiku wa kuamkia leo Jumapili Novemba 10, 2019 kwenye kilele cha tamasha hilo la burudani ya muziki.