Tazama picha za matukio: Malinzi, Aveva, Mwesigwa na Kaburu mahakamani
Rais wa shirikisho la mpira wa miguu nchini TFF, Jamal Emil Malinzi, katibu mkuu wa TFF, Mwesigwa Celestine, rais wa klabu ya Simba Evans Aveva pamoja na makamu wake, Geofrey Nyange ‘Kaburu’ wakiwa mahakama ya hakimu mkazi kisutu hii leo kwa makosa mbalimbali.
Rais wa klabu ya Simba, Evans Aveva, makamu wake,Geofrey Nyange ‘Kaburu’ ,rais TFF, Jamal malinzi na Mwesigwa Celestine wakiingia mahakamani leo
Rais wa TFF,Jamal malinzi(katikati), makamu wa klabu ya Simba,Geofrey Nyange ‘Kaburu’(kulia) na katibu Mkuu wa TFF,Mwesigwa Celestine (kushoto)
Rais wa TFF,Jamal malinz, makamu wa klabu ya Simba, Geofrey Nyange ‘Kaburu’na katibu Mkuu wa TFF,Mwesigwa Celestine wakiteta jambo na mawakili wao
Rais wa klabu ya Simba, Evans Aveva,(kulia) makamu wake,Geofrey Nyange ‘Kaburu’ (wapili kutoka kulia) Katibu mkuu wa TFF, Mwesigwa Celestine (wamwishokushoto) na ,rais TFF, Jamal malinzi (wapili kutoka kushoto) wakiingia mahakamani leo
Waandishi wa habari pamoja na wadauwa soka wakifuatilia mwenendo wa kesi mahakamani kisutu, Dar es salaam
Nje ya mahakama waandishi wa habari wakiwa wanafuatilia kinachoendelea katika kesi hiyo inayowakabili viongozi wa soka nchini
BY HAMZA FUMO