Michezo
Tazama ratiba ya hatua ya robo fainali ya UEFA, timu za Hispania ngoma nzito
Hayawi hayawi na sasa yamekuwa. Hatimaye droo ya robo fainali ya kombe la klabu bingwa barani Ulaya imepangwa.
Katika hatua hiyo Juventus watacheza na Real Madrid na Barcelona wamepangwa kucheza na AS Roma ya Italia.
Wakati huo huo Liverpool watacheza na Manchester City wakati Sevilla ambao waliwang’o manchester united katika hatua ya 16, wamepangwa kucheza na Bayern Munchen.