Habari
TEMESA watao taarifa rasmi kuhusu kuzama kwa kivuko cha MV Nyerere
Kivuko cha MV Nyerere kinachofanya safari zake kati ya kisiwa cha Ukala mkoani Mwanza na Bugorara katika ziwa Victoria kimezama kikiwa na abiria, bado haijaelezwa idadi kamili ya abiria waliokuwemo kwenye kivuko hicho
Taarifa kutoka TEMESA juu ya ajali iliyotokea Ziwa Victoria leo.