Burudani

The Diva vs The Boss Lady: Loveness Diva na Huddan Monroe (Kenya) waanzisha vita kisa penzi la Prezzo

Hakuna siri tena kuwa mtangazaji wa Clouds FM Loveness aka Diva na mfalme wa bling bling Rapcellency Prezzo ni wapenzi na wote wameconfirm. Lakini hata hivyo Diva amejikuta akipata upinzani mzito kutoka kwa model na msichana maarufu nchini Kenya Huddah Monroe ambaye kulikuwepo tetesi kuwa yeye na Prezzo waliwahi kuwa wapenzi.

Huddah Monroe
Huddah Monroe

Huddah amemshambulia Diva kuwa anajisifia mno kwenye Twitter kuhusu uhusiano wake na Prezzo. Pia anasema Diva ana sura mbaya.

“But she is still dreaming ,plus she is so ugly.”

“Theres a gal here she can’t stop sayin the way a nigga is her man,she is even waiting for a ring,im on the floor,” ametweet Huddah.

“She says it was love at first sight,but all a nigga wanted was to bust his nut.”

Huddah pia amemdiss Diva na wasichana wengine walio upande wake kuwa wanatweet Kiswahili kwakuwa Kiingereza ni kigumu.

“These bitches tweeting in swahili coz english is so hard.”

“Sio vita,i just found ur obsession so funny,u even broke u up with ur boyfriend,tumecheka tukaketi chini,” ameongeza Huddah.

“Hahaha! She is like i should respect her @Divamimi ,too shady to call herself a diva.”
“Sit ur ass down bitch i just laughed at ur tweet,nw u makin it a big deal.”

Hata hivyo Diva hakukaa kimya, hivi ndivyo alivyojibu.

#TeamPrezzo #Rapcellency#ThePresident. Am 100% Protecting his Territory , ukno how we do it Son. In Jay’z voice #1love

Next time finish what u started my Angel, am from Tanzania, I can handle a woman like u, learn to respect those u don’t know.

That woman crazy , she just started attacking me then »» Ex girlfriend, I dig her, ouch
Mwenzangu wee lol, she needs to move on, this will never take her nowhere.

LOL, too Early for her , let her kip on venting , not gon deal wit her ever again, some girls man.

Baada ya vita kuwa nzito, Diva ameomba msaada kwa followers wake wamfunze adabu Huddah kwa kile Diva anachosema amewatukana watanzania.

“Pliz handle this woman from kenya that been so busy attacking me. Attacking my country as well, mfunzeni #Leggo.”

Huddah amejibu: LMFAO! U are now askin Tanzanians to abuse me? U actually called Tanzaninan men dirty na hata shame huna.

Hizi ni tweets za Diva zilizofuata akidhihirisha anavyompenda Prezzo na kwamba hamtaki tena Huddah.

I love Prezzo and Simuachi Ng’oo , so she better deal with dat. She needs to leave me alone now. Its LOVE!. #bowdown#UheardTheDiva.

A little bit advice for her , you can’t fight love, Esp. love at first Sight. That’s Powerful. I lov Kenya#My2ndhome. So done.

Then you go and tell her to move on. Coz Prezzo don’t want her anymore. That is so easy!

Unaionaje vita ya wasichana hawa wawili amnbayo bado inaendelea kwenye Twitter? Kitu kimoja kikubwa wanachofanana wasichana hawa ni kuwa wote ni maarufu sana kwenye Twitter na wako controversial.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents