Picha
#ThrowbackThursday: Mwana FA, Fid Q, Prof J, TID, Ray C na Q-Chief (2006)
Ukirudisha kumbukumbu mwaka 2006, Mwana FA, Fid Q na Prof J walikuwa ni kama dream team ya Hip Hop Tanzania wakati TID, Ray C na Q-Chief walikuwa dream team ya upande wa uimbaji. Katika Throwback Thursday leo tumekutana na picha hizi zilizokuwa kwenye maktaba yetu.
Ukiangalia dream teams hizo, unaweza kuwafananisha na wasanii gani wa sasa?
Don’t forget to follow us on http://instagram.com/bongofive