Michezo

Tiketi za ‘May -Pac’ kuanza kuuzwa leo

Tiketi za mpambano wa ndondi kati ya Floyd Mayweather na Manny Pacquiao katika ukumbi wa MGM Grand Garden Arena jijini Las Vegas, Marekani utakaopigwa May 2 zitaanza kuuzwa leo saa nne usiku saa za Afrika Mashariki.

27E3001900000578-3052759-image-a-7_1429818722895

Bei ya tiketi hizo kutegemea na eneo utakaloketi ni kama ifuatavyo: $7,500, $5,000, $3,500, $2,500, $1,500 na $ 1,000. Masharti si zaidi ya tiketi nne kwa nyumba moja.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents