Habari
Timu ya Liverpool yawa kinara wa Heineken Foosball – Rose Garden
Timu ya mchezo wa Foosball ya Liverpool jana iliibuka mshindi wa jumla wa shindano la mchezo huo katika muendelezo ya mchezo wa Heineken Foosball unaoendelea katika baa mbali mbali za jiji la Dar-es-Salaam.
Shindano hilo linaendelea leo jioni katika baa ya Uhuru Pea, iliyopo Kinondoni vijana.