BurudaniUncategorized

Tiwa Savage ajipachika jina jipya

Msanii wa muziki kutoka Nigeria ambaye yupo katika lebo ya Roc Nation, Tiwa Savage amejipachika jina jipya ‘Malkia wa Muziki Africa’.

Kupitia mtandao wa Snapchat mrembo huyo aliweka picha yake akijiita jina hilo huku akimshukuru mbunifu wa mavazi yake kwa kumfanya aonekane mrembo katika video yake mpya ya ‘Informate’.

Na Laila Sued

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents