Habari
Top C kuvunja ukimya kwa kuachia video mpya wiki ijayo
Baada ya kimya cha muda mrefu, msanii aliyewahi kuhit na wimbo Lofa, Top C anatarajia kuachia video ya wimbo wake mpya, Wapi Ulipo. Top C kwa sasa yupo nchini Kenya akiwa chini ya CandynCandy Records.
Candy n Candy wametangaza ujio mpya wa Top C kupitia Twitter.
New video for TOP C's new single WAPI ULIPO is due to come out next week. you don't want to miss this one #kot #kenya @GhaflaKenya
— CandynCandy Records (@CandynCandyRec) October 8, 2013