Burudani

TPF6: Hakuna Mtanzania aliyeingia kwenye probation wiki hii

Watanzania hawana haja ya kuwaza wiki hii kwakuwa wawakilishi wao kwenye shindano la Tusker Project Fame msimu wa sita, Hisia na Angel wako salama.

BXCdbT2CYAIiHMn
Washiriki walioingia kwenye probation

Jumla ya washiriki watano wameingia kwenye probation wiki hii ambao ni Jennifer, Bior, Fess, Undercover Brothers na
Mitchel.

BXCc1hAIIAANkgg
Undercover Brothers

BXCcWFXIIAAbJ6C
Fess

Akielezea sababu za washiriki hao kuingia probation, Jaji Ian alisema mwaka huu shindano hilo halitafuti wasanii wa kawaida bali wenye vipaji na uwezo mkubwa zaidi Afrika Mashariki.

BXCdHsCIAAAnxWu
Mitchel

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents