Habari

Trump amuita Hillary Clinton ni ‘shetani’

Mgombea wa chama cha Republican nchini marekani Donald Trump amemtaja mshindani wake wa chama cha Democratic Hillary Clinton kuwa ‘shetani’.

160529130334_clinton_trump_640x360_reuters_nocredit

Akizungumza kwenye mkutano huko Pennsylvania bwana Trump alimshambulia Bernie Sanders kwa kumuachia nafasi Bi Clinton.

Tajiri huyo alisema kuwa Sanders alifanya makubaliano na ‘shetani’ .

Wanachama wa Democrat na Republican wememkosoa bwana Trump kutokana na matamshi yake kuhusu wazazi wa mwanajeshi M’marekani muislamu aliyeuawa vitani nchini Iraq.

Source: BBC

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents