Habari

Tuendelee kuliombea taifa letu – Rais Magufuli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Dkt. John Pombe Magufuli amewataka Watanzania kuendelea kuliombea taifa letu.

8
Rais Dkt. John Magufuli

Rais Magufuli ameyasema hayo leo Jumapili Februari 25, 2018 mjini Chato, Geita alipohudhuria kwenye Ibada katika Parokia teule ya Mlimani huku akimpongeza Askofu Mkuu wa Jimbo la Rulenge-Ngara, Severine Niwemugizi kwa kukipa hadhi kigango cha Mlimani kuwa Parokia.

Soma taarifa zaidi;

8ebb2347-d830-429d-b2b5-c2e59d3967de.jpeg

 

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents