Siasa
Tundu Lissu afafanua sera yake ya kutaka kugawanya majimbo na wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya kuchaguliwa na wananchi (+Video)
Mgombea Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CHADEMA Mhe. Tundu Lissu alivyoeleza sera yake ya kutaka kugawanya Majimbo na pia kutaka wakuu wa mikoa wakuu wa wilaya kuchaguliwa na wananchi badala ya kuteuliwa na Rais.
https://www.youtube.com/watch?v=2XH1Gff-H6A
https://www.youtube.com/watch?v=63PuofSXYDs&t=321s
https://www.youtube.com/watch?v=Ms9rFVhDOQU
https://www.youtube.com/watch?v=JXJ3gDObNXw