Michezo

Tuzo ya Mwanasoka bora wa England 2015 imeenda kwa wachezaji hawa

Ligi kuu ya England ikiwa inakaribia kuisha, mchezaji wa Club ya Chelsea, Eden Hazard raia wa Ubelgiji ambaye hadi sasa ameifungia timu hiyo mabao 18, amechagulia kuwa mchezaji bora wa mwaka na chama cha wachezaji wa kulipwa England PFA.

28098A6A00000578-0-image-m-23_1430081036529

Na tuzo ya mwanasoka bora chipukizi imechuliwa na mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane aliyefanikiwa kushinda nafasi hiyo baada ya kuwapiku kipa David De Gea wa Man United na Raheem Sterling wa Liverpool.

2808049700000578-3056557-image-m-45_1430082109114

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents