Michezo
Tuzo ya Mwanasoka bora wa England 2015 imeenda kwa wachezaji hawa
Ligi kuu ya England ikiwa inakaribia kuisha, mchezaji wa Club ya Chelsea, Eden Hazard raia wa Ubelgiji ambaye hadi sasa ameifungia timu hiyo mabao 18, amechagulia kuwa mchezaji bora wa mwaka na chama cha wachezaji wa kulipwa England PFA.
Na tuzo ya mwanasoka bora chipukizi imechuliwa na mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane aliyefanikiwa kushinda nafasi hiyo baada ya kuwapiku kipa David De Gea wa Man United na Raheem Sterling wa Liverpool.