Tyga akosolewa kwa kumuita Tupac ‘baba’ aeleza kwanini anamchukulia hivyo
Kama Tupac angekuwa na mtoto wa kiume, basi angekuwa ni Tyga. Rapper huyo hata hivyo alijikuta kikaangoni baada ya kumuita marehemu Tupac Shakur, baba yake.
Dad pic.twitter.com/AKNoQJhPCC
— T-Raww (@Tyga) March 7, 2016
Baada ya maneno kuwa mengi, Tyga alilazimika kutoa ufafanuzi zaidi.
“Pac alinifundisha mimi mengi kumzidi hata baba yangu mwenyewe. Aliniinspire, alinihamasisha, alinisikiliza bila hata ya yeye kuwepo pale,” aliandika kwenye Twitter.
Pac taught me a lot more than my own father. Inspired me, Motivated Me, Listened without ever being there.
— T-Raww (@Tyga) March 7, 2016
“Nilitaka kuwaonesha hiki mashabiki wangu, barua kutoka kwa baba yangu ambaye anatumikia kifungo cha maisha jela,” aliongeza.
Wanted to share this with my fans a letter from my real Father who has been serving a life Sentence. pic.twitter.com/2Io5LMAiAS
— T-Raww (@Tyga) March 7, 2016
Never met my dad but this was my reply. pic.twitter.com/L2Nwj7xQOi
— T-Raww (@Tyga) March 7, 2016