BurudaniUncategorized

Tyga atangaza ujio wa Albamu yake mpya

Tyga allianza mwaka 2018 kwa kuachia ngoma iitwayo ‘Temperature’ na kisha akatushushia remix ya ‘Ric Flair Drip’ akimshirikisha Offset.

Leo msani huyo anayeishi huko jjini Los Angels nchini Marekani ametangaza kuachia albamu mpya inayoitwa KYOTO na jina hilo ni mji maarufu wa Japan.. Albamu hiyo itaachiwa rasmi Februari 16 mwaka huu na msanii huyo pia ameonyesha mchoro rasmi utakao tambulisha albamu hiyo kwa kuposti katika kurasa zake za Instagram na kuandika kwamba “This album is me opening my heart to you and I hope you enjoy it and love it as much as I do.”

https://www.instagram.com/p/BeQeqfJHkWK/?taken-by=kinggoldchains

Na Raheem Rajuu

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents