Ubelgiji bado vinara katika viwango ubora vya Fifa
Fifa imetoa viwango bora vya soka huku nchini ya Ubelgiji imeendelea kukaa katika nafasi ya kwanza kwenye viwango hivyo kwa mujibu wa viwango viliyotolewa Alhamisi.
Kumi Bora imebaki vile vile bila kuwa na mabadiliko huku Mabingwa wa Dunia, Germany, wakiwa Nafasi ya 4.
Afrika Ivory Coast imeporomoka hadi Nafasi ya 9 na sasa ipo Nafasi ya 28 Duniani ikifuatiwa na Cape Verde ambayo ipo Nafasi ya 33 baada ya kupanda Nafasi huku Algeria ikiwa Nafasi ya 36 baada ya kushuka Nafasi 8.
Timu nyingine katika ishirini bora ni Ubeligiji, Argentina, Uhispania, Ujerumani na Chile.
20 bora katika viwango vya Fifa
1 Ubelgiji
2 Argentina
3 Uhispania
4 Ujerumani
5 Chile
6 Brazil
7 Portugal
8 Colombia
9 England
10 Austria
11 Uruguay
12 Switzerland
13 Ecuador
14 Uholanzi
15 Italy
16 Romania
17 Wales
18 Croatia
19 Hungary
20 Uturuki