Michezo

Uchambuzi: Mnyama Simba aunguruma, makosa manne ya Biashara (+Video)

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu soka Tanzania Bara Simba SC wamefanikiwa kuchomoza na ushindi mnono wa jumla ya magoli 4 – 0 dhidi ya Biashara United mchezo uliyopigwa katika dimba la Mkapa jijini Dar es Salaam.

Akizungumzia ushindi huo mnono  @abbas__pira  amekimwagia sifa lukuki kikosi cha Wekundu wa Msimbazi ambao kimeibebesha kapu la magoli timu ya Biashara United.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents