Michezo

Uchambuzi: Sababu za Yanga kupata sare Vs Tz Prisons (+Audio)

Mchambuzi wa mpira Abbas Pira ameuchambua mchezo wa Yanga Vs Tanzania Prisons na kusema kuwa tatizo lilikuwa ni aina ya wachezaji waliyoanza katika mechi hiyo licha ya kucheza vizuri. ”Wachezaji waliyocheza kipindi cha Pili walitakiwa ndiyo waanze katika kipindi cha kwanza, Yanga walifanikiwa kutengeneza nafasi nyingi sana ila kulikuwa na matatizo ya umaliziaji ndiyo maana wakatoa sare.”- Abbas Pira

IMEANDIKWA NA HAMZA FUMO, INSTAGRAM @fumo255

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents