Burudani

Ujumbe wa Diamond kwa Nillan utata mtupu, ‘Kua uje kuwatembezea’

Siku ya jana mtoto wa pili wa msanii Diamond, Nillan alikuwa akisherekea siku yake ya kuzaliwa baada ya kutimiza umri wa mwaka mmoja.
Katika kumtakia kheri ya siku hiyo muhimu kabisa maishani mwake, Diamond ameandika ujumbe wa ambao watu wengi wameshangazwa nao. Kupitia ukurasa wake wake Instagram Diamond ameandika;

Nasemaje! Kua Uje kuwatembezea Baba… We swala la Kutafta ela niachie mie… Jukumu lako ni moja tu, Kupita nao🔥…..Happy 1st Year Lanny!!! 🎂

Pia hapo awali mzazi mwenziye na Diamond, Zari The Boss Lady aliandika ujumbe mzuri kwa Nillani, Zari aliandika;

Ladies and gentlemen help me wish my hanshaaaaaam skwiiiiisshhhh a happy birthday. You surely growing up fast, i see you breaking girls’ 💔s soon b’coz this cuteness is overloaded …. Happy bday my toto @princenillan

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents