Burudani

Ukitoa mkataba na Sony Music, hii ni dili ya pili Alikiba amepata, zipo zingine 5

Huu ni mwaka wa Alikiba. Baada ya kusaini mkataba mnono na Sony Music itakayomshuhudia akienda rasmi kimataifa, staa huyo amepewa dili jingine la kufanya kazi na taasisi ya Jamie Oliver Food Foundation.

News

Trace Urban wameshare habari hiyo kwenye Twitter. “This is .@OfficialAlikiba’s year! He has a dope partnership w/the #JamieOliverFoundation too.”

kiba22

Taasisi hiyo ya kimataifa inajihusisha na masuala ya chakula na upishi. “Access to good, fresh, real food and the basic skills to cook it has the power to transform lives, and that is what the Jamie Oliver Food Foundation is all about,” imeandika kwenye tovuti yake.

Taasisi hiyo inafanya kazi Uingereza, Marekani Australia na hutoa mafunzo mbalimbali kuhusu chakula. “Our food education programmes in schools, communities and with groups of vulnerable young adults teach people about food, where it comes from, how it affects their bodies and how to cook it.”

feature-header23
Taasisi hiyo ilianzishwa na mpishi maarufu wa Uingereza, James Trevor Oliver

Katika hatua nyingine mkataba wa Alikiba na Sony utamwezesha kufanya collabo na msanii wa Marekani aliye chini ya label hiyo pia.

“@SonyMusicAfrica will have USA/East Africa collaboration for
@OfficialAlikiba with other #Sony artists,” wametweet Trace.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents